Rais Magufuli Awaonya Viongozi wa Dini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Magufuli Awaonya Viongozi wa Dini
Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli amesema ili kuepuka chuki, vurugu na mafarakano katika taifa, viongozi wa dini wanatakiwa kujiepusha na kukejeli dini ama dhebu lingine wakati wote wanapotekeleza majukumu yao wasiruhusu siasa kuingilia majukumu ya dini.

Dkt. Magufuli amesema hayo katika hotuba yake iliyosomwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Muhagama, wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu askofu mteule Ezekiel Yona wa kanisa la Monravian jimbo la Magharibu Mkoani Tabora.

Waziri Mhagama amesema kuwa serikali itaendelea kusimamia katiba ya nchi ili kila dhehebu na waumini wa madhahebu mbalimbali waweze kuabudu bila shida yoyote.

Kwa habari kamili msikilize hapa chini Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Muhagama akielezea zaidi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad