AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dkt. Magufuli amesema hayo katika hotuba yake iliyosomwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Muhagama, wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu askofu mteule Ezekiel Yona wa kanisa la Monravian jimbo la Magharibu Mkoani Tabora.
Waziri Mhagama amesema kuwa serikali itaendelea kusimamia katiba ya nchi ili kila dhehebu na waumini wa madhahebu mbalimbali waweze kuabudu bila shida yoyote.
Kwa habari kamili msikilize hapa chini Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Muhagama akielezea zaidi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK