AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivyo katika hotuba yake,Rapa mkongwe nchini Tanzania, Afande Sele hakutaka kukaa nyuma aliguswa na kuamua kuchukua baadhi ya maneno aliyoyazungumza Rais Magufuli na kuyaweka katika mtandao wake wa Instagram. Afande ameandika “Dume La Simbaaaaa….Gusa Unase….Maendeleo sio lele mama ni kauli ya baba wa taifa mwlm Nyerere…No pain No gain…Punda afe mzigo ufike…ukicheka na nyani utavuna mabua…Ngosha kanyaga twende kama china kama North korea hadi kieleweke…muda wa kucheka na kuku ulishapita sasa kazi tuu…..Chuma kikoli moto….”
Utakumbuka Marchi 15, 2018, Afande Sele alingaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi mkoani Morogoro mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.
Pia Afande Sele kabla ya kujiunga na CCM alishawahi kuwa mwanachama wa CHADEMA na Chama cha ACT Wazalendo ambapo mwaka 2015 alitangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK