AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Over Ze Weekend, Shamsa alisema kuwa watu wa kwenye mitandao ya kijamii siku zote hawana jema unaweza kufanya kitu kizuri lakini mwisho ya yote likaonekana sio jambo jema hivyo vazi alilovaa Uwoya kwake haoni kama lina shida yoyote.
“Watu wanamtukana Uwoya, kwa vile tu nafikiri hawaelewi sidhani kama Uwoya kuna kosa alilofanya kuvaa nguo ile labda angepita nalo barabarani ingekuwa ni tatizo lakini yopo ufukweni kuna shida gani?” alihoji Shamsa.
Uwoya alizua gumzo kwenye mitandao ya kijamii wiki iliyopita baada ya kutupia picha mbalimbali zilizomuonesha akiwa kwenye vazi linaonesha maungo yake ya ndani kwa urahisi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK