AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mhandisi Kamwele ametoa maagizo hayo leo Julai 13 jijini Mwanza alipotembelea taasisi na kukagua miradi iliyoko chini ya Wizara hiyo.
Amesema Serikali pia itatekeleza ujenzi na ukarabati wa viwanja vingine tisa nchini kufikia viwango vya kuruhusu safari za ndege zote kubwa na ndogo.
Ametaja baadhi ya viwanja hivyo kuwa ni pamoja ni Songwe-Mbeya, Mtwara, Musoma, Kigoma, Songea, Shinyanga, Geita na Tabora.
Waziri huyo pia ameuagiza uongozi wa Shirika la ndege nchini (ATCL), kurekebisha mfumo wa ukataji wa tiketi, hasa kupitia kwa Mawakala ili kudhibiti ongezeko la bei kulinganisha ille inayotangazwa na shirikali hilo.
“Baadhi ya mawakala huwatoza wananchi kati ya Sh400, 000 hadi Sh500, 000 kwa safari kulinganisha bei inayotangazwa na shirika la Sh260, 000; nitoa muda wa wiki tatu mchezo huu ukomeshwe,” amesema.
Waziri huyo pia ametembelea bandari ya Mwanza pamoja na shirika la reli.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK