AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja Mkuu wa timu, Hafidh Saleh, amesema kwa sasa wamebaki na wachezaji 6 pekee huku wengine wakifeli mazoezi ambapo sasa watakuwa wanarejea makwao.
Saleh amesema wachezaji waliofeli wameondoka kutokana na mchujo unaoendelea kwa ajili ya kupata wale wanaohitajika kwa ajili ya kukisuka upya kikosi.
Ikumbukwe siku kadhaa zilizopita, Yanga ilitanga kuleta wachezaji 14 wa kimataifa kwa mujibu wa Ofisa Habari wa klabu, Dismas Ten kwa ajili ya kufanya majaribio.
Kikosi hicho kipo kambini kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Gor Mahia FC ya Kenya na msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK