Zamaradi Awajia Juu Wanaomuingiza Katika Sakata la Muna na Aliyejitokeza Kuwa Baba Mzazi wa Patrick

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zamaradi Awajia Juu Wanaomuingiza Katika Sakata la Muna na Aliyejitokeza Kuwa Baba Mzazi wa Patrick
MTANGAZAJI Zamaradi Mketema aliyepewa jukumu kuratibu msiba wa mtoto wa Muna, Patrick ametaka yeye asihusishwe juu ya mvutano uliopo kati anayedaiwa kuwa ni baba wa mtoto, Peter Zacharia na aliyekuwa mkewe Muna Love.


Hatua hiyo imekuja baada ya siku ya jana kusambaa taarifa mtandaoni kwamba yeye anachangia mgogoro huo kuendelea wakati Muna akisema msiba uko kwake Mbezi Beach na baba akisema msiba upo kwake Mwananyamala huku wakiacha maswali kuhusu baba halisi wa mtoto huyo iwapo ni Peter au Casto.

Akizungumza kwenye Exclusive Interview na Global TV Online jana nyumbani kwake Mwananyamala Darajani jijini Dar, Peter alisema Zamaradi amefanya jitihada kubwa za kuokoa uhai wa Peter na kuongeza kuwa licha ya mtoto huyo kufariki, amemwachia jukumu la kuzungumza na Muna ili wanaweza kuumaliza mgogoro wao ili mtoto azikwe kwa taratibu zote.

Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Zamaradi ameandika;


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad