Aden Rage Ageuka Mbogo Baada ya Wachezaji Sita wa Simba Kuondolewa Taifa Stars

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aden Rage Ageuka Mbogo Baada ya Wachezaji Sita wa Simba Kuondolewa Taifa Stars
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, amepingana na maamuzi ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) kuwapiga chini wachezaji 6 Simba katika kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars.

Rage amesema maamuzi hayo ni ya kuwakosea wachezaji na badala yake akishauri ni vema wangepewa onyo.

Kiongozi huyo wa zamani Simba ameeleza kitendo cha Kocha Mkuu, Emmanuel Amunike kuwapa adhabu kali wakati wakiwa hawana rekodi ya kufanya hivyo si cha busara na badala yake alitakiwa aende nao taratibu.

Aidha, ameshauri ni vema zaidi kama wangeweza kutwafutwa kupewa onyo na ikiwezekana walau kupigwa hata faini jambo ambalo lingewaamsha na kuwa wanawahi kwa siku za usoni.

"Ni jambo ambalo si sahihi kabisa, nadhani wangeweza kufuatwa na kupewa hata onyo kutokana na kutokuwa na utamaduni wa kuchelewa. Au kama ingewezekana wangepigwa hata faini" alisema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad