Binti Aliyetaka Kujiua Apata Nafasi Nyingine ya Kuishi Baada ya Kupandikizwa Sura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Binti aliyetaka kujiua apata nafasi nyingine ya kuishi baada ya kupandikizwa sura
Katie Stubblefield alikuwa na umri wa miaka 18 wakati alipopata majeraha makubwa baada ya kupigwa risasi.

Aliokolewa maisha yake hospitalini ingawa majeraha aliyoyapata yalimfanya msichana huyu maisha yake yabadilike na muonekano wa uso wake ulikuwa umebadilika karibu wote.

Kwa sasa msichana huyo ana umri wa miaka 22 na ameweza kuonyesha matokeo ya upandikizaji wa uso wake ulichukua miaka kadhaa katika jarida la 'National Geographic'

Chapisho hili lilipata nafasi ya kipekee katika kilniki ya Ohio ambayo ilimfanyia upasuaji binti huyo wakati akiwa ana umri wa miaka 21.

Waandishi wa habari na wapiga picha walifuatilia upasuaji huo tangu maandalizi yanaanza mpaka wakati wa upasuaji ambao ulitumia muda wa saa 31.

Picha ya sura ya Katie ambayo ipo juu ya jarida hilo la mwezi wa septemba iliweza pia kusimuliwa katika Makala ya kwenye mtandao.

Mpaka sasa ni watu 40 tu ndio wameweza kubadilishwa muonekano wa sura zao.Mtu wa kwanza kufanyiwa upandikizaji huo ilikuwa mwaka 2010 na alifanyiwa na daktari kutoka Uhispania.

Kwa kuwa upasuaji huu bado unafahamika kama ni majaribio hivyo basi malipo yake hayapo kwenye bima nchini Marekani.

Upasuaji alioufanya Katie ulidhaminiwa na taasisi ya 'Armed Forces'ambayo inataka kuboresha matibabu ya askari ambao watakuwa wamejeruhiwa katika vita.

Katie aliaminika kuwa ni mtu sahihi kufanyiwa jaribio hilo kutokana na majeraha aliyokuwa nayo pamoja na umri wake.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad