AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dk. Dialo alisema wapo watumishi wengi hususan wa kuteuliwa wakiwamo mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi, makatibu tawala na wengine wamekuwa wakitoa siri walizopata wakati wakitumikia nafasi zao kitendo ambacho kinakiuka kiapo chake.
Kauli hiyo aliitoa hivi karibuni alipozungumza na wakuu wa wilaya za mkoa wa Mwanza walioteuliwa Julai 28, mwaka huu na Rais Dk. John Magufuli huku akiwataka waliostaafu kwa umri na walioondolewa katika nafasi zao kuendelea kutunza siri za Serikali.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK