AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Raia huyo wa Chile alisaidia klabu yake kushinda mchezo huo kwani aliifungia goli dakika ya 1`8 na kutoa assist kwa Hererra dakika ya 27 ingawa goli la Madrid lilipatikana kupitia Benzema dakika ya 45,hivyo hadi mwisho wa mchezo Mancester United 2-1 Madrid.
Sanchez ameonyesha kiwango kikubwa mno kwenye mchezo huo dhidi ya mabingwa wa kihistoria wa klabu bingwa barani Ulaya klabu ya Real Madrid baada ya kufunga bao la kwanza na lamapema.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK