Jokate Anaweza Kumweka Pinda Mahabusu na Wakapiga Makofi- Lema

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe alitoa majibu baada ya kutakiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani kuripoti kwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi kwa kufanya mkutano katika Jimbo lisilo lake nakusema Waziri hana mamalaka hayo kisheria.

Muda mfupi baada ya Zitto kujibu Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema nae akatoa neno kuhusiana na kauli ya Zitto.

Namnukuu Lema “Zitto, Waziri Kange anaweza kuwa hana Mamlaka kisheria lakini nikukumbushe kuwa siku hizi mambo yanaendeshwa kwa mizuka na matamko, kwa bahati mbaya Polisi wameshindwa kushinda jaribu hili. Kwa hali ilivyo sasa Jokate anaweza kumweka Pinda mahabusu na wakapiga makofi”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad