AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Global Publishers wanaripoti kuwa taarifa zinazosambaa Kwenye mitandao ya kijamii ni kuwa ndoa ya Dogo Janja na Uwoya imeingiwa doa na inasemekana chanzo ni Kalala kwani Uwoya amemzimikia vibaya mno Msanii huyo kiasi cha kumuhonga mizawadi kibao.
Msanii wa muziki wa dansi nchini Hamza Kalala ‘Kalala Junior’ anadaiwa kuwa chanzo cha mvurugano ulioikumba ndoa ya staa wa Bongo movie Irene Uwoya na Dogo Janja.
Global Publishers wanaripoti kuwa taarifa zinazosambaa Kwenye mitandao ya kijamii ni kuwa ndoa ya Dogo Janja na Uwoya imeingiwa doa na inasemekana chanzo ni Kalala kwani Uwoya amemzimikia vibaya mno Msanii huyo kiasi cha kumuhonga mizawadi kibao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK