Lava Lava Akumbwa na Skendo ya Kutelekeza Ujauzito...Queen Darling Ahaidi Kumlea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki kutoka lebo ya WCB Wasafi, Queen Darleen amedai kuwa yuko tayari kulea mtoto atakayezaliwa na 'Flaviana Lutakwa', mwanamke aliyedai kuwa ana Ujauzito wa msanii @iamlavalava.

Queen amejitokeza na kuonesha utayari wa hilo kwa kuandika kwenye uwanja wa Maoni wa #EXCLUSIVE Interview iliyofanyika #DizzimOnline juu ya malalamiko ya mwanamke huyo, baada ya kusikika akidai kuwa amebeba Ujauzito na anakumbana na Changamoto ya kupotezewa na Msanii hiyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad