AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bi. Monica alifariki dunia Jumamosi iliyopita, Hospitali ya Bugando alikokuwa amelazwa akipatiwa matuibabu.
Wastaafu hao wamewasili na Ndege ya Air Tanzania katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza uliyopo Ilemela na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela kabla ya kuelekea Chato mkoani Geita kujumuika na familia ya Magufli katika mazishi ya ndugu yao.
Mzee Mkapa ameambatana na mkewe Mama Anna Mkapa na mzee Kikwete naye aliambatana na mkewe, Mama Salma Kikwete.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK