AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wiki chache zilizopita Ali kiba alitangazwa rasmi kama mchezaji wa timu ya Coastal Union yenye makazi yake mkoani Tanga.
Kwenye mahojiano na Azam Tv, Ali Kiba anafunguka juu ya njia mpya aliyochukua na kueleza kuwa ana kipaji cha kucheza mpira na uwezo pia anaamini kuwa anao:
Mimi kwa kipaji changu binafsi nimeona kwamba ninaweza na ndio maana nikajiunga na Coastal Union sababu ya kipaji nilichokuwa nacho”.
Lakini pia ALi Kiba amefunguka kuhusu uwezo wa timu yake hiyo mpya na malengi waliyokuwa nayo:
Coastal Union wanajutahidi na ni wapambanaji na tunatafuta title msimu huu japokuwa kuna timu kongwe lakini mpira wanasemaga unadunda kwaiyo ni kupambana tu tutafika”.
Ali Kiba pia ameweka wazi kuwa kinywaji chake cha Mo Faya ndiyo kitaidhamini timu hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK