AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kufuatia kitendo hicho Qwisa ameonekana kuchukizwa na kitendo hicho na kuamua kuwatolea povu wanaomchambua mpenzi wake na kusema kua wao wametoka mbali na anampenda hivyo hivyo na ubaya wake kwakuwa anajua utamu wa mkewe.
Kupitia ukrasa wake wa instagramu aliandika hivi ''Mama Kamanda akipakwa Wanja wake almaarufu.. Nagaramia, Nampenda Hivyo hivyo na Wanja wake na sura yake na umbo lake na sugu zake.. Chambeni weeeee #SiachaniNae''
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK