Ray C, Koletha Mstari wa Mbele Kumshabiki Zari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ray C, Koletha Mstari wa Mbele Kumshabiki Zari
Sio kila mmoja anawez akukuchukia vile anaweza kukuchukilia mwingine  vile kundi kubwa la watu wanvayoweza kukuchukulia wewe.pamoja na kwamba mwanadada Zari the bossy amekuwa akipata upinzani mkali sana instagram ahasa katika page mbalimbali za udaku lakini kuna watu bado wanampenda na wanamsifia kila kukicha.

Mwanadada Ray c amekuwa moja ya watu hao wanaomsifia na kumpongeza kila kukicha na kila anapofanya jambo zuri, wikiendi iliyopita mwanadada zari aliweka picha nyingi zinazomuonyesha akiwa katika mashindano ya u-miss huko nchini kwao, wapo waliomponda sana kuwa hajapendeza na gauni alilovaa lakini iemkuwa tofauti kwa mwanadada Ray c na Koletha akutoka bongo movies.

Wasanii hawa wawili wameonekana kutokuwa na team  zamitandao na kumpongeza zri kwa kupendeza huko, wa upande wa Rayc pia amekuwa moja ya watu wanaopenda sana kukosoa kila anapoona mtu mmoja anaingiliwa na kushambuliwa sana katika mitandao ya kijamii , kwa mfano aliwahi kumttetea na hata kumkosoa hamisa kutokana na mambo tofauti tofauti.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad