Sallam SK: Uongozi wa WCB na Uongozi wa Alikib Tunakutana Mara kwa Mara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sallam SK: Uongozi wa WCB na Uongozi wa Alikib Tunakutana Mara kwa Mara
Mmoja kati ya mameneja watatu wa Diamond Platnumz, Sallam SK amedai kwamba viongozi wa WCB huwa wanakutana mara kwa mara na uongozi wa Alikiba na kuzungumza mambo mbalimbali.


Jumatano hii meneja huyo akiwa Times fm akifunguka mambo mengi huku WCB pamoja na muziki ambapo pia alifunguka kueleza kwamba sio kweli kwamba Diamond ana bifu na Alikiba huku akienda mbali zaidi kwa kudai viongozi wa label hizo mbili hukutana mara kwa mara.



“Kati ya Ali na Diamond hakunaga bifu, na haijawi kutokea, na uongozi wa Alikiba na WCB huwa unakutana mara kwa mara kuzungumza,” alisema Sallam. “Bifu ilitengenezwa na sisi baada ya kuona watu wanapenda hivyo vitu tukavitumia kwaajili ya kupromote wimbo wetu,”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad