Serengeti Boystz Yapata Tuzo ya Timu Yenye Nidhamu Michuano ya Cecafa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Serengeti Boystz Yapata Tuzo ya Timu Yenye Nidhamu Michuano ya Cecafa
Timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania U17 Serengeti Boystz imepata tuzo ya timu yenye nidhamu kwenye michuano ya Cecafa Total U17 Afcon Zonal Qualifiers.

Serengeti Boys, ambao walishafuzu kutokana na Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano hayo yatakayofanyika Mei 2019, wamemaliza michuano ya kufuzu katika nafasi ya tatu baada ya kuifunga Rwanda kwa mikwaju ya penati 4-3.

Dakika 90 zilimalizika kwa vijana hao kutoshana nguvu kwa goli 2-2.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad