Tekno, Mr. Flavour Wanusurika Kifo Baada ya Ndege Waliyopanda Kupata Hitilafu Wakiwa Angani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Tekno, Mr. Flavour Wanusurika Kifo Baada ya Ndege Waliyopanda Kupata Hitilafu Wakiwa Angani
WAKALI kunako muziki nchini Nigeria, Tekno, Mr. Flavour na mchekeshaji Gordon wamenusurika kifo baada ya ndege waliyokuwa wamepanda kupata hitilafu wakiwa angani.

Mchekeshaji Gordon ndiye aliyekuwa wa kwanza kutoa taarifa hizo kupitia ukurasa wake kwenye Mtandao wa Instagram ambapo alisema ishu nzima ilitokea Agosti 25, mwaka huu wakiwa njiani kutoka Lagos kuelekea Accra kwa ajili ya shoo. “Samahani, nisaidieni kuniombea na kumshukuru Mungu. Mungu amejibu kwangu, Mr. Flavour, Tekno na vijana wa bendi tuliokuwa tumeongozana nao kutoka Lagos kuelekea Accra.

”Mungu ametuokoa na ajali. Dakika nane tukiwa angani, rubani alitutangazia kuwa ndege yetu imepata hitilafu kubwa, tunamshukuru Mungu tumenusurika kifo,” aliandika.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad