AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza katika mahojiano na Mwananchi leo Agosti 15, Waitara amesema ameamua kuhama baada ya kuona nafasi yake ya ubunge inatishiwa kutokana na kudorora kwa uhusiano kati yake na Mwenyekiiti wa Chadema, Freeman Mbowe.
Hata hivyo, Mbowe alipotafutwa kwa njia ya simu kujibu kauli hiyo, amesema hawezi kuzungumza kwa kuwa yuko kwenye kikao cha kamati kuu ya chama hicho.
Awali Waitara alipotangaza kuondoka Chadema Julai 28, Mbowe aliliambia Mwananchi kuwa hakuwahi kumzuia kugombea uenyekiti wala kuwa na ugomvi naye.
“Sitegemei mtu akiondoka Chadema akamsifu Mbowe, lazima atarusha mawe kwenye mti wenye matunda,” alikaririwa Mbowe.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK