Wanajeshi wa Nigeria Wagoma Kwenda Vitani Kukabiliana na Boko Haram

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wanajeshi wa Nigeria wagoma kwenda vitani kukabiliana na Boko Haram
Kikosi kimoja cha majeshi ya Nigeria kimefyatua risasi angani kupinga amri ya kwenda mstari wa mbele kukabiliana na wanamgombo wa Boko Haramu.

Vyombo vya habari vya nchi hivyo vimeripoti kuwa askari alikataa kupanda ndege ambayo ilikuwa iwahamishe kutoka Maiduguri katika mji mkuu wa jimbo la Borno kwenda katika mji wa Marte karibu na nchi jirani ya Niger.

Hali hiyo hakutarajiwa lakini ndivyo ilivyotokea katika jeshi la Nigeria siku ya jumapili, ambapo wanajeshi wa kikosi kimoja walipoonyesha kukataa kwenda mstari wa mbele kukabiliana na Boko haramu.

Mwandishi wa BBC anasema kumekuwepo na hali ya kutotii amri miongoni mwa wanajeshi kwa miaka nane sasa.

Kundi la Boko haramu limekuwa liikiendesha vitendo vya utekaji mauaji na hata vitendo vya ubakaji na ukatili.

Kumekuwa na maswali mengi kutoka miongoni mwa raia kufuatia kundi hilo kuendelea na vitendo vya kikatili huku majeshi Nigeria yakidai yanalidhibiti.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad