AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa jumuiya ya hifadhi ya jamii ya Wanyamapori ya Buruge (WMA), Ramadhan Ismail amesema waziri huyo anapatiwa matibabu katika kituo cha afya Magugu.
Amesema baada ya kupatiwa matibabu katika kituo hicho cha afya, helkopta imefika eneo hilo tayari kwa kumpeleka Hospitali ya Rufaa ya KCMC kwa matibabu zaidi.
Amebainisha kuwa Dk Kigwangalla ana maumivu katika mbavu, kiunoni na hawezi kutembea.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Augostino Senga amesema katika gari hilo alikuwepo Dk Kigwangalla, dereva wake, mwandishi wa habari, msaidizi wake na mlinzi.
Amesema hali ya waziri huyo inaendelea vizuri licha ya kuwa ameumia mkono wa kulia, kifua na shingo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK