Abiria 35 Wanusurika Kufa Baada ya Ndege Kuanguka Baharini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Abiria 35 Wanusurika Kufa Baada ya Ndege Kuanguka Baharini
Abiria 35 waliokuwa wakisafiri katika ndege ya Shirika la Niugini na wafanyakazi 12 wamenusurika kifo baada ya ndege hiyo kuanguka baharini baada ya kushindwa kutua katika uwanja wa kimataifa wa Weno, Micronesia.

Ndege hiyo aina ya Boeing 737 ilikuwa inataka kutua kwenye uwanja hao lakini ilipitiliza uwanja na kutumbukia kwenye wangwa wa kisiwa cha Chuuk Ijumaa asubuhi.

Kabla ya ndege hiyo kuzama nusu abiria na wafanyakazi hao walilazimika kuogelea kuokoa maisha yao katika kisiwa hicho kilichoko katika bahari ya Pacific.

Msemaji wa shirika hilo, ambalo ndege yake ilikuwa katika safari za kawaida na ikijaribu kutua ikitokea Pohnpei mji mkuu wa Micronesian ikielekea Port Moresby, lakini "ilishindwa kutua kwenye uwanja wa kukimbilia".

"Shirika la ndege la Niugini linaweza kuthibitisha sasa kwamba watu wote waliokuwemo ndani waliokolewa salama,” ilisema taarifa fupi ya shirika hilo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad