AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ndege hiyo aina ya Boeing 737 ilikuwa inataka kutua kwenye uwanja hao lakini ilipitiliza uwanja na kutumbukia kwenye wangwa wa kisiwa cha Chuuk Ijumaa asubuhi.
Kabla ya ndege hiyo kuzama nusu abiria na wafanyakazi hao walilazimika kuogelea kuokoa maisha yao katika kisiwa hicho kilichoko katika bahari ya Pacific.
Msemaji wa shirika hilo, ambalo ndege yake ilikuwa katika safari za kawaida na ikijaribu kutua ikitokea Pohnpei mji mkuu wa Micronesian ikielekea Port Moresby, lakini "ilishindwa kutua kwenye uwanja wa kukimbilia".
"Shirika la ndege la Niugini linaweza kuthibitisha sasa kwamba watu wote waliokuwemo ndani waliokolewa salama,” ilisema taarifa fupi ya shirika hilo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK