AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pamoja na kwamba Ali Kiba alitangazwa kujiunga na kikosi cha Coastal Union Miezi michache iliyopita lakini mpaka sasa Ali Kiba hajaonekana Kwenye mchezo hata mmoja wa timu hiyo.
Ali Kiba amefunguka na kusema kuwa hana haraka ya kucheza kwa sasa na badala yake anausoma mchezo jinsi ambavyo unaenda pamoja na kukosa mechi za Coastal Union dhidi ya Lipuli FC, Biashara United, KMC na African Lyon.
Kwenye mahojiano aliyofanua na Spoti Xtra Ali Kiba amefunguka haya:
Ifahamike kuwa haina haraka ya mimi kucheza kwani mpira una njia na kanuni zake ambazo mtu unatakiwa uzijue”.
Ni lazima uzijue vizuri hizo na siyo unakurupuka na kuingia uwanjani, niko vizuri kabisa ila kwa sasa natafuta kuielewa timu kabla ya kuonekana uwanjani kwenye mechi zijazo za timu yangu”.
Wakati wa usajili wa Kiba, uongozi wa timu hiyo uliweka wazi kuwa Msanii huyo atakuwa huru kufanya shughuli zake za Kimuziki endapo atahitajika kipindi cha mechi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK