AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Esma alisema amekuwa akiumia na kuvumilia muda mrefu kwenye ndoa yake hiyo ya yeye na mumewe, Hemed Manungi ‘Petit Man’ kabla ya wawili hao kutengana.
“Unapoumwa na nyoka lazima ukiona hata jani unashtuka sana na ndiyo yamenikuta. Sasa hivi mwanaume lazima nimkague sana hata mwaka mmoja ndiyo niweze sasa kuolewa naye au hata kuwa wapenzi vinginevyo hapana, siwezi,” alisema Esma
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK