Baada ya Kubwagana na Petit Man Esma Ajigamba "Nitachagua Wanaume Kama Kalanga"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Kubwagana na Petit Man Esma Ajigamba "Nitachagua Wanaume Kama Kalanga"
BAADA ya kuachana na mumewe, dada wa mwanamuziki maarufu wa Afro-Pop, Na­sibu Abdul ‘Diamond Platinumuz’, Esma Khan amefunguka kuwa amejifunza pindi atakapoamua kuingia tena kwenye uhusiano ni lazima atakuwa akichagua mwanaume kama karanga ili angalau ampate mwenye uaminifu.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Esma alisema amekuwa akiumia na kuvumilia muda mrefu kwenye ndoa yake hiyo ya yeye na mumewe, Hemed Manungi ‘Petit Man’ kabla ya wawili hao kutengana.

“Unapoumwa na nyoka lazi­ma ukiona hata jani unashtu­ka sana na ndiyo yameniku­ta. Sasa hivi mwanaume lazima nimkague sana hata mwaka mmoja ndiyo niweze sasa kuolewa naye au hata kuwa wap­enzi vinginevyo hapana, siwezi,” alisema Esma
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad