Breaking News: Rais Magufuli Kaagiza Bendera ya Taifa Kupepea Nusu Mlingoti kwa Siku 3 Kufuatia Ajali ya MV Nyerere

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Rais John Magufuli ameagiza Bendera ya Taifa kupepea kwa nusu mlingoti kwa siku tatu kuanzia kesho Septemba 22 kufuatia ajali ya kivuko cha MV Nyerere iliyotokea jana mkoani Mwanza.

Kauli hiyo ya Rais Magufuli imetolewa na na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Dodoma leo  Septemba 21, 2018.

Amesema Serikali inatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wa ndugu waliofarii katika ajali ya MV Nyerere na kuwatakia majeruhi wapone haraka.

Pia Rais Magufuli ameagiza viongozi wa taasisi na mamlaka zinazosimamia usafiri wa majini wahojiwe na watakaobainika kuhusika kwa uzembe wachukuliwe hatua kali
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad