AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hamisa Mobetto ameonekana kupata dili mbalimbali hivi karibuni ikiwemo na kuwa balozi na nyingine nyingi , kupostiwa na mwanadada huyo wengi wamehoji na kujiuliza kuhusu ukaribu wao? na je ataenda Marekani kupata dili nyingine au kukutana kirafiki?
Kupitia ukurasa wa instagram wa Lira ameandika “Mwanangu Hamisa Mobetto anakuja kutembea Marekani hivi karibuni #AfrikaMashariki” Baada ya muda Hamisa Mobetto alimjibu na kusema “Nina shahuku mpenzi “
Hamisa Mobetto na yeye alimpost mwanadada huyo kupitia ukurasa wake wa instagram na kuandika “Siwezi kusubiri kukuona “
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK