Diamond: Mwili Wangu ni Juisi, Najua Unautaka Lakini Huwezi Kukabiliana na Stress

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Diamond: Mwili Wangu ni Juisi, Najua Unautaka Lakini Huwezi Kukabiliana na Stress
Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz ameibuka na kueleza kuwa mwili  wake ni sawa na juice, anajua kuna ambao wanahitaji lakini hawatoweza kukabiliana na msongo wa mawazo.

Kupitia ukurasa wake Instagram.

"You know this Body is Juicy!!!....and i know you want it..... but don't get fooled, you won't handle the stress!!!"

Hivi karibuni Diamond alikuwa kwenye mvutano na Hamisa Mobetto ambaye ni mzazi mwenzie, kwa kile kilichoelezwa kuwa alikuwa akihitaji kuoelewa naye.

Hii ni baada ya hapo awali muimbaji huyo kuachwa na mzazi mwenzie pia Zari The Bossladay
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad