AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi ameamuru kukamatwa kwa kijana aliyetamka neno “ametumwa” wakati akihutubia kwenye mkutano na wananchi wa wilaya ya Dodoma mjini.
''Wewe ndiye umetumwa kunivurugia mkutano wangu, na kwasababu ni Serikali nataka NIKUONESHE nguvu yake. Askari mchukue huyo'' - DC Katambi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK