Kamati ya Waamuzi TFF Yatoa Tamko Kuhusu Marefarii Mechi ya Simba na Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kamati ya Waamuzi TFF Yatoa Tamko Kuhusu Marefarii Mechi ya Simba na Yanga
Wakati ikielezwa kuwa Mwamuzi Mwanamama Florentina Zabron atakuwa pilato wa mchezo utakaowakutanisha watani wa jadi Simba na Yanga, Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi, amesema watatangaza majina rasmi ya waamuzi wote watakaocheza mchezo huo Alhamis.

Chama amesema waamuzi wote wanapaswa kuwa na BEJI ya FIFA kutokana na msisimko wa mechi hiyo ya aina yake yenye ushawishi mkubwa ndani ya soka la Tanzania.

Mwenyekiti huyo amesema wameamua kufanya hivyo ikiwa zitakuwa zimekuwa zimesalia siku tatu kabla ya mechi hiyo kuelekea mechi hiyo.

Aidha, Chama ameeleza kuwa TFF imeanzisha utaratibu mpya wa kuwatangaza waamuzi wa mechi zote za ligi siku tatu kabla ya mchezo husika tofauti na ilivyokuwa mwanzo.

Simba na Yanga zitateremka dimbani Septemba 30 2018 kwa ajili ya kupigania alama tatu huku Simba wakiwa na kumbukumbu ya ushindi wa bao 1-0 katika mechi ya mwisho waliyokutana msimu uliopita.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad