AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama amesema waamuzi wote wanapaswa kuwa na BEJI ya FIFA kutokana na msisimko wa mechi hiyo ya aina yake yenye ushawishi mkubwa ndani ya soka la Tanzania.
Mwenyekiti huyo amesema wameamua kufanya hivyo ikiwa zitakuwa zimekuwa zimesalia siku tatu kabla ya mechi hiyo kuelekea mechi hiyo.
Aidha, Chama ameeleza kuwa TFF imeanzisha utaratibu mpya wa kuwatangaza waamuzi wa mechi zote za ligi siku tatu kabla ya mchezo husika tofauti na ilivyokuwa mwanzo.
Simba na Yanga zitateremka dimbani Septemba 30 2018 kwa ajili ya kupigania alama tatu huku Simba wakiwa na kumbukumbu ya ushindi wa bao 1-0 katika mechi ya mwisho waliyokutana msimu uliopita.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK