AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni kutokana na hali mbaya ya biashara iliyosababisha ukata katika kampuni lakini Fastjet Tanzania imewatoa wasiwasi wateja na kueleza kuwa itaendelea kutoa huduma kama kawaida
Fastjet Plc ilitoa taarifa ya mwenendo wake wa fedha kuwa inakabiliwa na upungufu mkubwa wa fedha kiasi cha kulazimika kuzitafuta kwa kufanya harambee
Mkurugenzi Mkuu wa Fastjet Tanzania, Derrick Luembe alisema "Bado tuna vyanzo vingine vya mapato kukidhi mahitaji yetu na tunaendelea kuingia mikataba mipya."
Kwa sasa, ndege za shirika hilo zinaruka na kutua Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Lusaka na Zimbabwe.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK