Msuva afunguka sababu ya kutoka sare na Uganda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mshambuliaji wa klabu ya soka ya EL Jadida ya Nchini Morocco amesema licha ya kutoka sare katika mchezo wao dhidi ya Uganda katika uwanja wa mandela. 

Akizungumza na Global TV Saimoni Msuva amesema licha ya kupata matokeo mabaya ugenini amesema uwanja ulichangia kufanya wao wasipate matokeo mazuri dhidi ya Uganda. 

Kwa upande mwengine mshambuliaji huyo amewataka wachezaji waki Tanzania kuwa na hali ya Uthubutu ilii kuweza kufikia malengo yao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad