AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani baba mtakatifu Papa Fransisco ametuma salamu za Rambirambi kufuatia ajali ya kivuko cha MV Nyerere.
Katika salamu zake kupitia kwa Balozi wake nchini baba mtakatafu amewapata pole wote walioko katika majonzi na kuwapa moyo wote wanaotafuta ndugu ambao hawajaonekana
Amemuomba Mungu awajalie baraka, nguvu na faraja wote walioguswa na msiba huo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK