AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moja ya sababu kubwa ya mwanadada huyo kuandamwa na mashabiki ni kutokana na kwamba alikuwa akionekana yuko peke yake katika mapumziko hayo na kwamba kwanini hajakwenda Dubai na mume wake dogo janja .
Lakini baadae mwanadada huyo alikuja kuonekana katika picha ya pamoja na mwanaume mmoja ambae inasemekana kuwa ni rafiki wa karibu wa familia ya Irene uwoya lakini bado mashabiki hawakutaka kuamini na kuendelea kumshambulia mwanadada huyo.
Kama ilivyo kawaida katika mitandao ya kijamii , mashabiki wamekuwa wakisema mengi kuhusu Irene uwoya huku wakisema kuwa ndoa yake imeanza kuota nyasi na kwamba mwanaume aliyeenda nae Dubai ndie mpenzi wake wa sasa.
Hata hivyo dogo janja hjafungika wala irene mwenyewe kuhusu tuhuma hizo zinazoendelea zidi yake.Uwoya amekuwa moja ya wasanii wa kike wanaongoz kusema vibaya katika mitandao ya kijamii.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK