Rais Magufuli Aagiza Kijengwa kwa Haraka Kivuko Kipya Ukerewe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Magufuli Aagiza  Kijengwa kwa Haraka Kivuko Kipya Ukerewe
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemwagiza Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Eng. Kamwelwe kutangaza zabuni haraka kwa ajili ya kujenga kivuko kipya cha Ukara baada ya MV Nyerere kuzama. Ameagiza kivuko hicho kiwe na uwezo wa kubeba tani 50 na watu zaidi ya 200.


Kivuko hicho kipya kitakuwa na ukubwa mara mbili ya MV Nyerere kilichokuwa na tani 25 pekee na uwezo wa kubeba watu 101.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad