AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika ujumbe wake alioutuma katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter, Kenyatta ametoa pole kwa Watanzania kufuatia ajali hiyo.
“Kwa niaba yangu na wananchi wa Kenya, natuma salamu za rambirambi kwa ndugu yangu Rais Magufuli pamoja na majirani zetu raia wa Tanzania katika kipindi hiki kigumu kufuatia ajali ya kivuko cha MV Nyerere kilichozama Ziwa Victoria. ” amesema.
Rais Kenyatta amesema serikali yake ipo tayari kutoa msaada wowote utakaohitajika kufuatia ajali hiyo.
Kivuko hicho kilizama jana mchana Septemba 20, 2018 na hadi leo Septemba 21, 2018 maiti za watu 100 zimeopolewa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK