AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Clifford Ndimbo alisema jana kuwa wachezaji wanaotarajiwa kujiunga na timu hiyo mbali na Samatta anayeichezea KRC Genk ya Ubelgiji, ni Thomas Ulimwengu (El Hilal, Sudan), Simon Msuva( Difaa Hassan EL Jadida, Morocco), Farid Musa (CD Tenerife Hispania), Rashid Mandawa(BDF xi, Botswana), Himid Mau (Petro Jet FC, Misri), Shabani Idd Chilunda (CD Tenerife, Hispania), Hassan Kessy (Nkana FC, Zambia), Abdi Banda (Baroka FC, Afrika Kusini).
Kikosi cha Taifa Stars jana kiliendelea na mazoezi kwenye Uwanja wa Taifa kikiwa chini ya Kocha Mkuu Mnaigeria Emmanuel Amunike.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK