Unyama Tupu Wanawake Wawili Wauliwa na Kunyofolewa Vichwa, Matiti na Sehemu za Siri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Unyama Tupu Wanawake Wawili Wauliwa na Kunyofolewa Vichwa, Matiti na Sehemu za Siri
WANAWAKE wawili ambao ni mtu na shangazi yake, Kija Lushanga (70) na Pendo (40) ambaye jina la baba yake halikufahamika mara moja wamekutwa wamefariki dunia huku viungo mbalimbali vya miili yao ikiwemo kichwa, viganja vya mikono, sehemu za siri, na matiti vikiwa vimeondolewa.



Tukio hilo limetokea leo Jumamosi, Septemba 22, 2018 majira ya saa 5:00 asubuhi katika Kijiji cha Lubanga, Tarafa ya Kasamwa, Wilayani Geita baada ya wanawake hao wanaosadikiwa kuvamiwa na watu wasiojulikana kushambuliwa kwa mapanga.



Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema jeshi la polisi lilifika katika eneo la tukio na kukuta kiganja kimoja kikiwa kimesahaulika na hadi sasa linawashikilia watu watatu wanaosadikiwa kuhusika na mauaji hayo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad