AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tukio hilo limetokea leo Jumamosi, Septemba 22, 2018 majira ya saa 5:00 asubuhi katika Kijiji cha Lubanga, Tarafa ya Kasamwa, Wilayani Geita baada ya wanawake hao wanaosadikiwa kuvamiwa na watu wasiojulikana kushambuliwa kwa mapanga.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema jeshi la polisi lilifika katika eneo la tukio na kukuta kiganja kimoja kikiwa kimesahaulika na hadi sasa linawashikilia watu watatu wanaosadikiwa kuhusika na mauaji hayo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK