AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Manyika ameamua kujiengua ndani ya timu hiyo kutokana na kushindwa kulipwa stahiki zake ikiwemo fedha za usajili na mishahara ya miezi kadhaa.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa klabu hiyo, Festo Sanga, ameeleza kuwa bado wanahitaji zaidi huduma ya Manyika kwa sababu amekuwa msaada mzuri kwenye lango lao ili kukiimarisha kikosi.
Sanga anaamini Manyika watamrejesha kwa kufika naye pazuri kimazungumzo ambapo kwa sasa yupo jijini Dar es Salaam akijifua kwenye kituo cha baba yake mzazi ili kuendelea kulinda kiwango chake.
Kuondoka kwa Manyika ndani ya walima alizeti hao kumeanza kuipa taswira mbaya ambapo ukichana na kipa huyo inaelezwa kuna baadhi ya wachezaji wengine pia wanaidai klabu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK