AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wolper ameweka wazi kuwa hawezi kushiriki kwenye video za wasanii wa Bongo fleva kama video queen kwa sababu hakuna mwenye mkwanja mrefu wa kumlipa anachotaka.
Kwenye mahojiano na Gazeti la Dimba, Wolper amesema kwamba haoni kama kuna msanii anayeweza kuvunja benki kwa kiasi cha pesa anachotaka na badala yake amekuwa akitumia muda wake mwingi kwenye biashara zake.
Ni ngumu kushiriki video ya msanii yeyote kwa sasa. Nina mambo mengi…halafu kiasi cha pesa nitakachohitaji sidhani kama wataweza kunipa”.
Lakini pia Wolper amesema kuwa anashukuru kuona shughuli zake za kumwingizia kipato zinazidi kufanya vyema na kusema ataendelea kuwekeza zaidi kwenye ujasiriamali.
Wolper ameshatokea kwenye video za wanamuziki kadhaa miaka ya nyuma ikiwemo nyimbo ya Diamond Platnumz na Keysha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK