AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Unajua kwa nini? Leo nimepokea barua wamezuia shoo yangu. Sababu? Wanadai eti wamepata oda kutoka FUFA. Hebu angalieni uwanja huohuo unafanya matamasha mengi na hawajawahi kuzuia,” alilalama Bobi.
Miezi michache iliyopita, Bobi na wabunge wengine kadhaa walikamatwa na Polisi wa nchini humo baada ya waandamanaji kupiga mawe gari la Rais Yoweri Museveni wakati wa kampeni za uchaguzi. Katika kushikiliwa huko, ilidaiwa Bobi alipitia katika mateso makali.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK