AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Manara amesema kuwa kwake ni faraja kuweza kuongezewa majukumu, kwani ni heshima na fahari hasa kuwa balozi wa kampuni kubwa nchini.
"Nawashukuru Asas kwa kunipa heshima kubwa ya kuwa balozi wa bidhaa zenu na kampuni yenu kubwa kabisa nitatumia vipawa vyangu kuhakikisha nakuza taswira ya kampuni," alisema.
Manara amekuwa na furaha kubwa baada ya kuona amefanikiwa kumpapasa mpinzani wake Masau Bwire kwa kuwa alishindwa kumjibu kutokana na ushindani wa Ligi ulivyo, ameteuliwa kuwa balozi wa kampuni ya Asas pia ni Ofisa habari wa Simba hivyo majukumu kwake yameongezeka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK