Haji Manara Apata Shavu Asas Achaguliwa Kuwa Balozi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Haji Manara Apata Shavu Asas Achaguliwa Kuwa Balozi
Ofisa habari wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba Haji Manara ameongezewa majukumu mengine ya kufanya mbali na kuwa ofisa atakuwa balozi wa kampuni kubwa inayoaminika kutoa ajira kwa vijana na kutoa sapoti kwenye sekta ya michezo.

Manara amesema kuwa kwake ni faraja kuweza kuongezewa majukumu, kwani ni heshima na fahari hasa kuwa balozi wa kampuni kubwa nchini.

"Nawashukuru Asas kwa kunipa heshima kubwa ya kuwa balozi wa bidhaa zenu na kampuni yenu kubwa kabisa nitatumia vipawa vyangu kuhakikisha nakuza taswira ya kampuni," alisema.

Manara amekuwa na furaha kubwa baada ya kuona amefanikiwa kumpapasa mpinzani wake Masau Bwire kwa kuwa alishindwa kumjibu kutokana na ushindani wa Ligi ulivyo, ameteuliwa kuwa balozi wa kampuni ya Asas pia ni Ofisa habari wa Simba hivyo majukumu kwake yameongezeka.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad