AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwenye DADAZ ya East Africa Televisio, Hemed amesema kwamba awali alikuwa na maisha ya kupenda kubadili wanawake, lakini sasa ameamua kutulia na kuwa na mpenzi mmoja, anayetengeneza naye maisha.
Akiendelea kuweka wazi maisha ambayo alikuwa nayo mara tu baada ya kuupata umaarufu, Hemed amesema kuwa aliachana na mpenzi wake ambaye alikuwa naye tangu akiwa darasa la tatu, lakini alimuacha mara tu baada ya kurudi kwenye mashindano ya Tusker Project Fame.
“Nilipoanza umaarufu, yule demu wangu niliyeanza naye tangu darasa la tatu mpaka napata ustar alikuja tu airpot kunipokea nilipokuwa narudi kwenye Tusker Project Fame, nilijiuliza huyu kafuata nini hapa!?. Yaani niliona ashakuja kuniharibia, maana siku ile totoz zilishaniambia sirudi nyumbani, nikawa ni mtu wa watoto tu, ila kuna muda unafika unasema nakua sasa nahitaji 'future', nikaamua kutulia na mmoja sasa hivi nimeokoka kabisa, sina mambo hayo”, amesema Hemedi.
Hemedi amesema kutokana na tabia ambayo alikuwa nayo, muda mwengine hata mtu ambaye yuko naye hamuamini, lakini ameamua kumuweka wazi kwa sababu ni kweli ametulia.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK