Hiki Hapa Chanzo cha Mashabiki Yanga Kumzomea RC Makonda Taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hiki Hapa Chanzo cha Mashabiki Yanga Kumzomea RC Makonda Taifa
Mashabiki wa Yanga jana Jumapili walikuwa moto baada ya kumpigia kelele Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutokana na kuvaa jezi ya Simba.

Tukio hilo lilijiri jana Jumapili wakati Simba ikijiandaa kucheza na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Makonda ambaye alitua uwanjani hapo kwenda kupata burudani ya soka, aliingia na kuwasalimia mashabiki wote kwa kuwanyooshea mkono kisha akaenda kukaa VIP.

Lakini wakati akitoa salamu hizo, mashabiki wa Simba walionekana kumshangilia kwa nguvu kubwa lakini wale wa Yanga walimpigia kelele nyingi kama za kumzomea hivi baada ya kuona amevalia uzi wa Simba.


Hata hivyo kiongozi huyo hakuonekana kujali sana kwa kuwa anafahamu mambo ya ushabiki.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad