Jaji Mkuu Amtembelea Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Ofisini Kwake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jaji Mkuu Amtembelea Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Ofisini Kwake
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma  amefanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. John Mongella, nakupata wasaa wa kutoa pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na wananchi wote waliopatwa na maafa ya kivuko cha MV Nyerere yaliyotokea Septemba, 20, 2018 katika wilaya ya Ukerewe.



Aidha; Mhe. Jaji Mkuu alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwa ushirikiano katika ya ofisi yake na Mahakama mkoani humo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad