Joti Aiomba Serikali Kutenga Siku kwa Ajili ya Kuwaenzi Wasanii Waliokufa na Wameacha Alama kwa taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Joti aiomba Serikali kutenga siku kwa ajili ya kuwaenzi masanii waliokufa na wameacha alama kwa taifa
Msanii mchekeshaji kutoka Tanzania Lucas Mhivule alimaarufu Joti amefunguka mengi kuhusiana na kazi yake lakini pia kuhusiana na sanaa kwa ujumla.



Joti ameogea hayo wakatia anapiga stori na Bongo five siku ya uzinduzi wa tamthilia yake ya Mwantumu ambayo ni msimu wa pili katika ofisi za DStv ambayo itakuwa inaonyeshwa kupitia chaneli namba 160 ya Maisha Magic Bongo kila siku za Jumanne na Jumatano saa moja na nusu usiku.



Mchekeshaji huyo alimtolea mfano marehemu Mzee Majuto na kusema kuwa “Amewafanya vijana wengi kujiingiza kwenye tasnia ya Uchekeshaji na anafaa kuenziwa kwa kutngwa siku maalumu kwa ajili hiyo na sio yeye tu bali wasanii wote ambao walikwisha tangulia mbele ya haki”



Joti ameongea hayo lakini pia akitoa ya moyoni kuhusu zile taarifa zinazosambaa kwamba Watanzania hawaonyeshi ushirikiano na wasanii hadi pale wanapokufa ndio wanaonyesha wanaumuhimu sana na msanii huyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad