Kibadeni Amwaga Laani Kutekwa kwa Mohamed Dewji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kibadeni Amwaga Laani Kutekwa kwa Mohamed Dewji
Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Simba na timu ya taifa ya Tanzania, Abdallah Athuman Seif ‘King Kibadeni’ amelaani kwa kitendo cha Mohamed Dewji ‘Dewji’ kutekwa na kusema kinatishia usalama kwa jamii.

Kwa mujibu wa Championi Ijumaa, Kibadeni baada ya taarifa hiyo ya kuthibitishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, alisema:

“Tunaomba serikali iwachu-kulie hatua kali hao waarifu ambao wamehusika na tukio hilo la Mo Dewji, tuna-omba izidishe usalama zaidi kwa jamii maana kama mtu maarufu na mwenye fedha katekwa, je, watu wa kawaida siwatatekwa sana.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad