AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Koka Moita, alisema tukio hilo lilitokea Oktoba 15 jioni katika Kijiji cha Kingachi, Kata ya Kingachi wilayani humo.
Alisema mwanamke huyo ambaye jina lake limehifadhiwa, alibakwa na kijana huyo baada ya kumvamia na kuvunja mlango wa nyumba yake.
Alisema baada ya kuvunja mlango kijana huyo alimvuta nje mwanamke huyo na kumfanyia kitendo hicho.
“Baada ya kuingia ndani alimvuta nje na baadaye alimlaza kando ya nyumba hiyo na kumfanyia kitendo hicho,” alisema.
Alisema baada ya kijana huyo kufanya kitendo hicho, alikimbia na raia wema walitoa taarifa polisi.
Baada ya msako mkali polisi waliweza kumkamata na kumfikisha katika Kituo cha Polisi Moshi, alisema.
“Kwa sasa tumemhifadhi na baada ya uchunguzi kukamilika tutamfikisha mahakamani kujibu shitaka linalomkabili,”alisema Kamanda.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK