Kocha wa Simba Avurugwa na Ratiba za Bongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kocha wa Simba Avurugwa na Ratiba za Bongo
Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Aussems amelalamika juu ya ratiba ambayo wanaipitia kwa sasa ya kucheza mechi tatu ndani ya siku nane kwa kuwa haitoi muda wa kupumzika kwa wachezaji wake.

Aussems amesema kuwa ratiba kwao haijakaa sawa kwani inaweza kusababisha majeraha kwa wachezaji wake kwa kushindwa kutoa muda wa mapumziko baada ya kumaliza mechi moja.

"Kwa sasa tuna ratiba ngumu kidogo, kwani ndani ya muda mfupi tunacheza mechi tena, utaona tumecheza jumapili iliyopita, baada ya siku chache tunacheza tena na baada ya hapo tunacheza tena,kitu hicho ni kigumu kinaweza kusababisha matatizo kwa wachezaji," alisema.

Simba kuanzia Jumapili iliyopita hadi jumapili hii watakuwa na mechi tatu tofauti, walianza kupambana na Stand United wiki iliyopita, leo watacheza na Alliance na jumapili watacheza na Ruvu Shooting.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad