AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aussems amesema kuwa ratiba kwao haijakaa sawa kwani inaweza kusababisha majeraha kwa wachezaji wake kwa kushindwa kutoa muda wa mapumziko baada ya kumaliza mechi moja.
"Kwa sasa tuna ratiba ngumu kidogo, kwani ndani ya muda mfupi tunacheza mechi tena, utaona tumecheza jumapili iliyopita, baada ya siku chache tunacheza tena na baada ya hapo tunacheza tena,kitu hicho ni kigumu kinaweza kusababisha matatizo kwa wachezaji," alisema.
Simba kuanzia Jumapili iliyopita hadi jumapili hii watakuwa na mechi tatu tofauti, walianza kupambana na Stand United wiki iliyopita, leo watacheza na Alliance na jumapili watacheza na Ruvu Shooting.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK